Hii Ndio Hasara Ya Kutokuwa Na Malengo.

Kama huna malengo kwenye maisha yako, mtu mwenye malengo atakuajiri umtimizie malengo yake.
Kama huna ndoto kubwa kwenye maisha yako, mtu mwenye ndoto atakuajiri umkamilishie ndoto yake.
Na kama hujui unaelekea wapi na maisha yako, utajikuta unafuata kundi ambalo pia halijui linaelekea wapi.
Ni wakati sasa wa wewe kuacha kupoteza muda.
Kaa chini leo na uandike malengo yako, kisha weka mipango na anza kufanyia kazi mipango hiyo mara moja.
Kumbuka kauli mbiu ya mwaka huu ni JUST DO IT...
Usipoteze muda, anza sasa.

0 comments: