Vitu Vya Msingi Vya Kuzingatia Ili Uweze Kuwa Mwekezaji Mzuri
Baada ya kujua ujasiriamali ni nini na sifa za kuwa Mjasiriamali
bora, Leo tutajifunza uwekezaji ni nini na vitu vya kuzingatia ili uweze kuwa
mwekezaji mzuri. Watu wamekuwa wakipata mtaji, au fedha lakini wanaogopa
kuwekeza kwa sababu hawajui wapi pa kuanzia.
Uwekezaji ni nini?
Uwekezaji ni kitendo cha kutumia rasilimali, labda rasilimali fedha na kuitengeneza, kuijenga au kununua rasilimali nyingine kwa matarajio kwamba hiyo rasilimali utakayokuwa umeijenga au umeinunua itakuingizia fedha au pato baadaye katika namna ambayo itarudisha zile fedha ambazo ulizitumia na kukuletea faida zaidi. Unatakiwa kuijenga rasilimali ili irudishe pato au fedha uliyotumia katika uwekezaji na kupata faida.
Unaweza kuwekeza rasilimali muda wako, rasilimali fedha, na rasilimali nguvu yako na nk.
Vitu Vya Msingi Vya Kuzingatia Ili Uweze Kuwa Mwekezaji Bora au Mzuri
SOMA; Hivi ndivyo unavyoweza kununua Hisa katika soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)
Kwa hiyo, Kila binadamu ni mwekezaji, uwekezaji katika biashara unawekeza rasilimali fedha, ambayo itakuletea faida zaidi. Usisubiri mpaka upate rasilimali fedha ndio uanze kuwekeza Anza kuwekeza SASA katika uwekezaji wa akili, wekeza katika ubongo wako kwani chakula cha ubongo ni maarifa.
Huna mtaji, anza kuwekeza katika rasilimali muda wako, akili yako, rasilimali nguvu yako nk. soma vitabu mbalimbali, sikiliza vitabu vilivyosomwa, hudhuria semina, jifunze kwa waliofanikiwa.
‘’ Maarifa ni kila kitu katika uwekezaji na ubongo wako ni injini ya mafanikio’’
Makala hii imeandikwa na Deogratius Kessy ambaye ni mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali, unaweza kuwasiliana naye kupitia namba 0717101505 au kwa barua pepe deokessy.dk@gmail.com au unaweza kutembelea tovuti yake www.actualizeyourdream.blogspot.com
Uwekezaji ni nini?
Uwekezaji ni kitendo cha kutumia rasilimali, labda rasilimali fedha na kuitengeneza, kuijenga au kununua rasilimali nyingine kwa matarajio kwamba hiyo rasilimali utakayokuwa umeijenga au umeinunua itakuingizia fedha au pato baadaye katika namna ambayo itarudisha zile fedha ambazo ulizitumia na kukuletea faida zaidi. Unatakiwa kuijenga rasilimali ili irudishe pato au fedha uliyotumia katika uwekezaji na kupata faida.
Unaweza kuwekeza rasilimali muda wako, rasilimali fedha, na rasilimali nguvu yako na nk.
Vitu Vya Msingi Vya Kuzingatia Ili Uweze Kuwa Mwekezaji Bora au Mzuri
- Mtu Mwenye Uwezo Wa Kupata Taarifa;
- Mtu Mwenye Uwezo wa Kupima Majanga;
SOMA; Hivi ndivyo unavyoweza kununua Hisa katika soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)
- Mtu Mwenye Uwezo wa Kutengeneza Mtandao;
- Mtu Mwenye Tabia ya Kujifunza ;
Kwa hiyo, Kila binadamu ni mwekezaji, uwekezaji katika biashara unawekeza rasilimali fedha, ambayo itakuletea faida zaidi. Usisubiri mpaka upate rasilimali fedha ndio uanze kuwekeza Anza kuwekeza SASA katika uwekezaji wa akili, wekeza katika ubongo wako kwani chakula cha ubongo ni maarifa.
Huna mtaji, anza kuwekeza katika rasilimali muda wako, akili yako, rasilimali nguvu yako nk. soma vitabu mbalimbali, sikiliza vitabu vilivyosomwa, hudhuria semina, jifunze kwa waliofanikiwa.
‘’ Maarifa ni kila kitu katika uwekezaji na ubongo wako ni injini ya mafanikio’’
Makala hii imeandikwa na Deogratius Kessy ambaye ni mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali, unaweza kuwasiliana naye kupitia namba 0717101505 au kwa barua pepe deokessy.dk@gmail.com au unaweza kutembelea tovuti yake www.actualizeyourdream.blogspot.com
6/29/2015 07:30:00 AM
|
Labels:
UWEKEZAJI
|
This entry was posted on 6/29/2015 07:30:00 AM
and is filed under
UWEKEZAJI
.
You can follow any responses to this entry through
the RSS 2.0 feed.
You can leave a response,
or trackback from your own site.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment