Vitu Vitamu Muhimu Unavyohitaji Ili Kuingia Kwenye Biashara.

Ili kuingia kwenye biashara zama hizi unahitaji vitu vitatu tu;
i. Kidadavuzi mpakato(laptop)
ii. Simu ya mkononi yenye uwezo mkubwa(smartphone)
iii. Wazo.
Na wazo sio lazima liwe kubwa sana, linaweza kuwa wazo la kawaida sana ambalo wengine wanalipuuza.
Kama una vitu hivyo vitatu na hujui uanzie wapi niandikie kwenye makirita@kisimachamaarifa.co.tz
Angalizo; uwe tayari kufanya kazi, sio lelemama...

0 comments: