NENO LA LEO; Huwezi Kuanguka Kama Hutafanya Hivi.

You can’t fall if you don’t climb. But there’s no joy in living your whole life on the ground. –Unknown

Huwezi kuanguka kama hutopanda. Lakini hakuna furaha kwenye maisha kama utaishi maisha yako yote ukiwa chini.

Anza sasa kupanda na kuwa bora zaidi, ndio unaweza kuanguka ila utajifunza mengi na utaweza kufikia juu zaidi.

Ukiendelea kuogopa kuanguka, utaendelea kubaki hapo ulipo.

Nakutakia siku njema.

0 comments: