NENO LA LEO; Njia Isiyokuwa Na Foleni.

There are no traffic jams along the extra mile. –Roger Staubach

Hakuna foleni unapokwenda mbali zaidi.

Unapofanya kile ambacho kila mtu anafanya utakutana na ushindani mkubwa sana.

Unapofanya kitu chenye ubora mkubwa na wa kipekee utakuwa mwenyewe na hakutakuwa na ushindani.

Mara zote nenda maili ya ziada, fanya zaidi ya wengine na utapata zaidi.

Nakutakia siku njema.

0 comments: