Mambo Kumi Muhimu Kuhusu Maisha

1.Tupo hapa kujifunza, dunia ndio mwalimu wetu.

2. Ulimwengu hauna upendeleo.

3. Maisha yako ni matokeo ya imani yako.

4. Pale utakapoanza kutegemea zaidi vitu, watu au fedha unaharibu kila kitu.

5. Kila unachokiwekea mkazo kwenye maisha yako kinakua.

6. Fuata moyo wako.

7. Mungu hatoshuka kutoka mawinguni na kukuambia “sasa hivi una ruhusa ya kufanikiwa”

8. Unapopigana na maisha maisha siku zote yanashinda.

9. Unawapendaje watu? Kwa kuwakubali.

10. Mpango wetu hapa duniani sio kuibadili dunia bali kujibadili sisi wenyewe.

0 comments: