NENO LA LEO; Hapa Ndio Unapoweza Kuanzia Na Hiki Ndio Unachoweza Kufanya.

Start where you are. Use what you have. Do what you can. –Arthur Ashe

Anzia hapo ulipo. Tumia hiko ulicho nacho. Fanya unachoweza.

Usipoteze tena muda kufikiri ni wapi pa kuanzia, uanze na nini au ufanye nini. Unachohitaji ni kuanza kupiga hatua na mambo mengine yote yatakwenda vizuri.

Nakutakia siku njema.

0 comments: