KARIBU KWENYE MTANDAO WA AFYA IMARA

AFYA IMARA ni mtandao unaokupatia makala zinazohusiana na afya.
Kupitia mtandao huu utajifunza mbinu mbalimbali za kulinda na kuboresha afya yako.
Kama wote tunavyojua afya ni kiungo muhimu sana kwenye maisha yetu.
Bila kuwa na AFYA IMARA hatuwezi kufikia mipango na malengo tuliyojiwekea kwenye maisha yetu.
Tembelea mtandao huu kila siku ili uweze kujifunza kuhusu afya yako.

MAMBO UTAKAYOJIFUNZA KUPITIA AFYA IMARA.

Kupitia afya imara utajifunza mambo yafuatayo kuhusu afya;
1. Dalili za magonjwa mbalimbali.
2. Jinsi ya kujikinga na magonjwa.
3. Mazoezi na afya.
4. Lishe kwa makundi mbalimbali ya watu.
5. Afya kwa makundi mbalimbali kama watoto, wanawake na wazee.
MASWALI NA USHAURI ZAIDI.
Kama una tatizo la kiafya ambalo ungependa kupata ushauri zaidi unaweza kuandika na ukapewa ushauri wa kitaalamu. Andika email kwenda afya@kisimachamaarifa.co.tz
Tujenge AFYA IMARA ili tuweze kuwa na maisha bora.

0 comments: