NENO LA LEO; Mambo Mawili Muhimu Sana Kujua Kuhusu Maisha.

Life can either be accepted or changed. If it is not
accepted, it must be changed. If it cannot be changed, then it must be accepted.

Maisha yanaweza kukubaliwa au yanaweza kubadilishwa. Kama hayakubaliwi ni lazima yabadilishwe. Kama hayawezi kubadilishwa ni lazima yakubaliwe.

Usiendelee tena kuteseka na maisha yako, kama kuna kitu hukipendi kibadilishe na kama huwezi kukibadilisha kikubali. Ukiweza kufanya hivi maisha yako yatakuwa ya furaha.

Nakutakia siku njema.

0 comments: