NENO LA LEO; Kukolea Kwenye Tabia Mbaya.

Bad habits are like a comfortable bed; they are easy to get into, but hard to get out of.

Tabia mbaya ni kama kitanda kizuri, ni rahisi kuingia ila ni vigumu sana kutoka.

Kama kuna tabia ambayo huipendi fanya jitihada kubwa kuondokana nayo.

Nakutakia siku njema.

0 comments: