Unataka Kufanya Biashara na Huna Mtaji? Unaweza Kuanzia Hapa
Moja ya vikwazo vinavyowazuia watu wengi kuanza biashara imekuwa ni mtaji.
Japo mtaji sio kikwazo chenyewe, kuna mambo mengi yanawazuia watu kuingia kwenye biashara ila wao wanasingizia mtaji tu.
Basi kama wewe unafikiri tayari una kila kinachohitajika ili iuweze kufanikiwa kwenye biashara kasoro mtaji tu, leo utajifunza baadhi ya biashara utakazoweza kuanza bila mtaji au kwa mtaji kidogo sana.
Bonyeza maandishi haya kujifunza kuhusu biashara hizo.
Jifunze kisha chukua hatua.
TUPO PAMOJA.
10/22/2014 02:36:00 PM
|
Labels:
MBINU ZA MAFANIKIO
|
This entry was posted on 10/22/2014 02:36:00 PM
and is filed under
MBINU ZA MAFANIKIO
.
You can follow any responses to this entry through
the RSS 2.0 feed.
You can leave a response,
or trackback from your own site.
0 comments:
Post a Comment