JE WAJUA; Mamba kumeza mawe.
Baadhi ya wanyama jamii ya Mamba humeza mawe na kukaa nayo tumboni kwa muda mrefu. Mawe haya huitwa gasrolith.
Mawe haya humsaidia mamba mambo yafuatayo;
1. Humsaidia aweze kuwa na uzito utakaowafanya wazame kina kirefu zaidi kwenye maji.
2. Humsaidia kusaga chakula tumboni.
3. Hufanya tumbo liwe na uzito na kujisikia ameshiba hata kama hajala.
10/22/2014 11:12:00 AM
|
Labels:
JE WAJUA?
|
This entry was posted on 10/22/2014 11:12:00 AM
and is filed under
JE WAJUA?
.
You can follow any responses to this entry through
the RSS 2.0 feed.
You can leave a response,
or trackback from your own site.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment