NENO LA LEO; Kuhusu Yasiyowezekana.

“Most things that we think are impossible in life, is because we have never tried them. So go for every dream and opportunity before making a judgement.”

“Mambo mengi tunayofikiri hayawezekani ni kwa sababu hakuna aliyewahi kujaribu kuyafanya, hivyo fanyia kazi kila ndoto yako kabla ya kujihukumu kwamba haiwezekani”

Nakutakia siku njema.

0 comments: