NENO LA LEO; Kuhusu Kufanya Mambo Mengi.

It's important to focus on one thing at a time. Even in the Roman times they understood this with their Proverb; "The man who chases two rabbits catches none."

 

Ni muhimu kufanya jambo moja kwa wakati. Hata wakati wa Roma walielewa hili kwa msoemo wao; mtu anayekimbiza sungura wawili, hushindwa kumsiha hata mmoja.

Chagua mambo machache na uyafanye kwa ufanisi mkubwa na utapata mafanikio makubwa sana.

TUKO PAMOJA.

0 comments: