NENO LA LEO; Kuhusu Hazina Ya Mwanadamu.

“More gold has been mined from the thoughts of men than has been taken from the earth. So dust off the cobwebs and use all those great ideas you have!”

“Dhahabu nyingi imechimbwa kwenye mawazo ya wanadamu kuliko iliyochimbwa ardhini. Hivyo futa futa utando uliokinga mawazo yako na anza kuyatumia mawazo yako kuleta mabadiliko.”

Nakutakia siku njema.

0 comments: