Tabia KUMI Za Watu Waliofanikiwa Sana(PICHA)

Tabia ndio msingi wa mafanikio. Wote tunajua kwamba tofauti kubwa kati ya watu waliofanikiwa na wale ambao hawajafanikiwa inaanzia kwenye tabia. Ukiwalinganisha watu hawa wawili utaona utofauti mkubwa sana kwenye tabia zao.

Leo hapa UTAJIONGEZA na tabia kumi ambazo kama na wewe utaweza kujijengea utajiweka kwenye nafasi kubwa ya kuendelea kufanikiwa, KWA SABABU TAYARI UMESHAFANIKIWA.

Hapa nitaweka picha ambayo nimeipata kwenye mtandao wa ADDICTED TO SUCCESS, pitia tabia hizi kumi na zifanyie kazi.

Powerful-Habits-of-The-Ultra-Successful-Infographic

Kwa kifupi tabia hizi ni;

1. Kujifunza kila siku.

2. Kujijengea picha kwenye akili.

3. Weka vipaumbele.

4. Matumizi mazuri ya fedha.

5. Kuamka mapema.

6. Kuweka malengo.

7. Kula vizuri, kufanya mazoezi.

8. Kujiimarisha kiakili.

9. Kutengeneza mtandao.

10. Kujenga tabia nzuri.

Jijengee tabia hizi kumi na mafanikio hayataondoka kwako kamwe.

SOMA; Hizi Ndio Siri 21 Za Mafanikio

0 comments: