NENO LA LEO; Njia Moja Ya Uhakika Ya Kuepuka Kupingwa.

There is only one way to avoid criticism: do nothing, say nothing, and be nothing. –Aristotle

Kuna njia moja pekee ya kuepuka kupingwa; usifanye chochote, usiseme chochote na usiwe chochote.

Vinginevyo chochote utakachofanya lazima kuna mtu atakupinga au kukukosoa.

Fanya kile unachoona ni sahihi kufanya na komaa nacho mapaka ufikie mafanikio.

Nakutakia siku njema.

0 comments: