NENO LA LEO; Tofauti Ya Washindi Na Washindwa.

Winners make goals... losers make excuses!

Washindi wanatengeneza malengo, washindwa wanatengeneza visingizio.

Amua leo kuwa mshindi na weka malengo na mipango mikubwa kwenye maisha yako. Acha sasa kutafuta visingizio.

Nakutakia siku njema.

0 comments: