NENO LA LEO; Maana Halisi Ya Machozi

Tears are words the heart can't express.

Machozi ni maneno ambayo moyo hauwezi kuyaeleza.

Machozi ni hisia kubwa sana inayotolewa na mtu, inaweza kuwa furaha au inaweza kuwa huzuni. Hakikisha unaleta machozi ya furaha kwa watu wako wa karibu.

Nakutakia siku njema.

0 comments: