NENO LA LEO; Kuhusu Mtu Anayejua Kila Kitu.

Any man who knows all the answers most likely misunderstood the questions.

Mtu anayejua majibu yote kuna uwezekano mkubwa haelewi maswali.

Katika ulimwengu wa sasa ni vigumu sana kujua kila kitu, chagua vitu vichache unavyotaka kuvijua na vijue vizuri.

Nakutakia siku njema.

0 comments: