NENO LA LEO; Kuhusu Uzuri Na Ubaya

Beauty is only skin-deep, but ugly goes clear to the bone.

Uzuri unaishia kwenye ngozi, ila ubaya unakwenda mpaka kwenye mifupa.

Acha kuonesha uzuri nje wakati ndani kumejaa ubaya, kuwa na uzuri kutoka ndani.

Nakutakia siku njema.

0 comments: