JE WAJUA; Ujerumani Iliua Wagonjwa na Walemavu.
Wakati wa utawala wa Nazi chini ya Adolf Hitler, ujerumani ilianzisha sera ya kuua watu wote ambao walionekana ni dhaifu.
Katika sera hii inasemekana watu zaidi ya laki mbili waliuawa kati ya mwaka 1940 mpaka mwaka 1945.
Waliouawa walikuwa ni wagonjwa wasiopona na walemavu.
Madaktari walitumika katika zoezi hili.
Tukio hili pia limewahi kutokea nchini Uganda ambapo mtawala wa kipindi hiko Idd Amin alishutumiwa kukusanya walemavu na kwenda kuwatupa kwenye mto.
10/21/2014 11:14:00 AM
|
Labels:
JE WAJUA?
|
This entry was posted on 10/21/2014 11:14:00 AM
and is filed under
JE WAJUA?
.
You can follow any responses to this entry through
the RSS 2.0 feed.
You can leave a response,
or trackback from your own site.
0 comments:
Post a Comment