Ushauri Kwa Wajasiriamali Kutoka Kwa Mwanzilishi Wa Facebook.

Mmoja wa waanzilishi wa Facebook Dustin Moskovitz, ambaye amekuwa bilionea kupitia kampuni hiyo, sasa anamiliki kampuni nyingine inayotoa ushauri kwa wajasiriamali na wanaotaka kuingia kwenye ujasiriamali.

Anasema tofauti na vyombo vya habari vinavyoonesha kwamba ujasiriamali ni kitu cha ufahari na rahisi, ni kazi ngumu sana ambayo inahitaji ujitoe sana.

Anasema hivi ndivyo vyombo vya habari vinavyoaminisha watu ujasiriamali ukoje;

so-a-scene-from-the-social-network-this-is-us-partying-and-working-at-the-same-timesomebodys-spraying-champagne-everywhere

Na hivi ndivyo uhalisia ulivyo;

dustin-moskovitz-startup-entrepreneurship-launch-advice-deck

Na hapa ametoa ushauri wa vitabu sita ambavyo kila mjasiriamali au anayepanga kuingia kwenye ujasiriamali ni muhimu kuvisoma;

heres-moskovitzs-recommended-reading-list-for-aspiring-entrepreneurs

Tafuta vitabu hivyo na uvisome, vitakusaidia katika safari yako ya ujasiriamali.

Nakutakia kila la kheri, TUPO PAMOJA.

0 comments: