NENO LA LEO; Kuhusu Uerevu

A wise man does in the beginning, what a foolish man does in the end.

 

Mtu mwerevu hufanya mwanzoni, kile ambacho mpumbavu hufanya mwishoni.

Kuwa mwerevu sasa kwa kujifunza kupitia makosa ya wengine na usiyarudie.

Nakutakia kila la kheri.

0 comments: