NENO LA LEO; Kuhusu Kuupuuza Ukweli.

I've learned that to ignore the facts does not change the facts.

 

Nimejifunza kwamba kuupuuza ukweli haibadilishi ukweli.

Ukweli ni ukweli hata kama utaamua kuupuuza. Kubaliana na ukweli na angalia jinsi ya kuutumia kupata kile unachotaka.

Nakutakia kila la kheri, TUKO PAMOJA.

0 comments: