NENO LA LEO; Kuhusu Kuupuuza Ukweli.
I've learned that to ignore the facts does not change the facts.
Nimejifunza kwamba kuupuuza ukweli haibadilishi ukweli.
Ukweli ni ukweli hata kama utaamua kuupuuza. Kubaliana na ukweli na angalia jinsi ya kuutumia kupata kile unachotaka.
Nakutakia kila la kheri, TUKO PAMOJA.
9/29/2014 06:52:00 AM
|
Labels:
NENO LA LEO
|
This entry was posted on 9/29/2014 06:52:00 AM
and is filed under
NENO LA LEO
.
You can follow any responses to this entry through
the RSS 2.0 feed.
You can leave a response,
or trackback from your own site.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment