JE WAJUA? Kuhusu Bacteria Wanaoishi Kwenye Kinywa Chako.

Kuna bacteria wengi wanaoishi kwenye kinywa chako zaidi ya idadi wa watu wanaoishi duniani.

Bacteria pia wapo kwenye ngozi yako, utumbo mpana na hata sehemu ya uke.

Kwa bahati nzuri bacteria hawa hawana madhara na wapo hapo kukukinga na bacteria wabaya.

Nakutakia kila la kheri, TUKO PAMOJA

Sasa unajua kwamba sio bacteria wote wanaoishi kwenye mwili wako ni hatari.

0 comments: